Diamond Akataa Milioni Mia Tano za Lowassa



Diamond Akataa Milioni Mia Tano za Lowassa

Duuh Hayo sio Maneno yangu Jamani , Gazeti la visa limeandika katika ukurasa wa mbele maneno hayo kama inavyoonyesha

Limeandika "Wakati wanamuziki wenzake wakilia njaa na kuoza kwa unga , Diamond akataa 500 Mil za Lowassa, Aambiwa ni Pesa Maalum kwa kazi Maalum na atakuwa Maalum 2015,
Naye Ajibu : Hizo Pesa peleka makanisani , misikitini ..Inatosha san
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment