MTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI

Mtoa mada Kenny Ngomuo akitoa mafunzo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Wanahabari wakimsikiliza Kenny Ngomuo.
Wanahabari wakifuatilia mafunzo hayo.
Wanahabari wakiwa katika picha ya pamoja na mtoa mada Kenny Ngomuo.
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) leo umeendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Kanda ya Mashariki huko mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoanza leo yanamalizika kesho na yamefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Usambara mkoani Morogoro.
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment