WAKALI WA HIP HOP ROMA MKATOLIKI NA KALA JEREMIAH WAILETA 'NCHI YA AHADI'

Wanamuziki wa Hip hop, Roma Mkatoliki na Kala Jeremiah wakiwa katika studio za Global TV Online leo.
Roma Mkatoliki (wa kwanza kulia) akijibu swali na mtangazaji wa Global TV Online, Mou Alfa (kushoto). Kati ni Kala Jeremiah.
Mou Alfa (kushoto) akiwahoji wanamuziki Kala na Roma ndani ya studio za Global TV Online.
WANAMUZIKI mahiri wa Hip hop nchini, Kala Jeremiah na Roma Mkatoliki leo wametembelea studio za Global TV Online na kutambulisha ngoma yao mpya ya NCHI YA AHADI ambayo inamuelezea mwanasiasa 'mheshimiwa' na mpiga kura.
Next PostNewer Post Previous PostOlder Post Home

0 comments:

Post a Comment